NIKIWA ndiye nyota wa filamu za ‘Misuko Suko’ ambayo ilionekana kuwa na mguzo na kuteka mashabiki lukuki hali iliyosababisha itolewe
kuanzia toleo la
kwanza hadi la tatu kwa kipindi cha nyakati tofau.
Kupitia filamu hizo ambazo zinaubabe mwingi ndani ya filamu
hizo kuna mijeba yenye maumbile ya ‘Inglish-Body’ na kuna heka heka za
kibabe ambazo
zimeijengea filamu ya ‘Misuko Suko’umaarufu mkubwa.
Mtayalishaji wa filamu hizo nimimi mwenyewe Jimmy Mponda ‘Jimmy Master’ ambapo natiririka katika makala hii.
Nilianza sanaa kwa kujihusisha na mchezo wa sarakasi , mwaka 1978 hadi
kufikia mwaka 1980 nilijiunga na kikundi cha Yusta ambacho kilijihusisha na Sarakasi ngoma na maigizo ya Stejini.
Mwaka 1986 nilianza kujihusisha na biashara na wakati huo huonikaanza
pia kujihusisha na mchezo wa mapigano na Sarakasi nkiwa mkoani Arusha
(YMCA).
Kwa kuwa elimu ni kama nguzo ya kumuongoza mwanadamu kumudu mazingira
yanayomzunguka Mponda ni alisoma shule ya msingi na sekondari
Arusha amabpo mwaka 1986 ndio mwakaniliomaliza
kidato cha nne mkoani Arusha.
Mwaka 1999 nilikuja Dar , na mtazamo wangu niliuhamishia Dar mwaka 1989 hadi 1990 mwishoni.
Nikiwa jijini Dar nilikuwa nikifanya biashara ya kupeleka bidhaa mbali mbali
mikoani.
Mwishoni mwa mwaka 1990 , niliamia mkoni Taanga ambapo nilifanya biashara na mazoezi.
Nikiwa katika pilika pilika za kibiashara nilikutana na wenzake wengine
na kuanzisha kundi lililoitwa (Black Ninja Group), ambapotulianza
kujihusisha na
uandaaji wa shoo za mapigano.
Tulianza kuipenyeza sanaa yetu hiyo kwa kuvuka mipaka ya nchi za Kenya na Uganda ikiwa ni mwaka 1992 hadi 1993.
Ambapo mwaka 1994 tulipata wazo la kufanya filamu, tulitafuta mtunzi
wa kuchukua matukio ya video na kuandaa fialmu ya ‘Shamba Kubwa’.
Filamu hiyo baada ya kukamilika tuliweza kufanya uzinduzi kwenye mikoa ya Tanga , Mwanza na Iringa.
Kuanzia hapo Jimmy Master nilibakiza asilimia 60 katika kufanya
masuala ya filamu na asilimia 40 nikazibakisha kwenye mawazo ya biashara.
''Filamu iliyofuata ilikuwa ikiitwa ‘Unga Adui wa Haki’ ilizungumzia
madawa ya kulenya.
“Ilikuwa mwaka 1996 ambapo mwaka uliofuata nilirudi tena jijini Dar
es Salaam , nikitokea Tanga ambapo ndipo nikawa nimehamia jijini hapa
moja kwa moja,”alisema Jimmy Master.
Mwaka 200 niliandaa filamu iliyoitwa ‘USIA’ ambapo akujivika huusika wowote licha ya yeye kuwa
muhusika.
Hapo nilifanikiwa kuibua vipaji mbali mbalivya Wasanii katika muziki wa Bongofleva .
Licha ya kujipatia umaarufu awali kwenye filamu ya ‘Shamba kubwa’ filamu ya ‘Misuko Suko’ iliyotoka mpaka matoleo
matatu ndio iliyokuza zaidi umaarufu na mafaniko yake mengi katika tasnia
hiyo ya filamu.
“Kunamafaniko lukuki amabyo ninayaona kwa sasa baada ya kutoa matoleo hayo ,
ambapo niliweza kupata ‘Ma-msapu’ na kufunga ndoa .
“Kwa sasa mie ni baba wa watoto wawili, na pia nimeongezea kuwa
mjasiliamali, namiliki duka linalojihusisha na huuzaji wa filamu karia
koo likiuza
filamu mbali mbali na vifaa vya video Production namengineyo.”
Pia kwa sasa tayari nimeingiza sokomi filamu mpya iitwayo ‘Doble J’ikiwa imeandaliwa na kampuni yangu
iitwayo ‘Jimpowood Campani LTD ,inayo patikana maeneo ya DDC Magomeni jijini
Dar es Salaam.
mafanikio mengine niliyoyapata kwa hivi sasa kwenye tasnia hii ya filamu ni kumiliki gari ainaya
Toyota Mark 11 lenye thamani ya milioni
16.
Pia baadhi ya matukio ambayo sirahisi kuyasahau
maishani mwangu ni lishafiwa na mama mzazi , ambapo katika
maisha
ambayo ni nguzo duniani
“Mama alifariki dunia nikiwa bado naitaji nasaha zake lakini mungu alimpenda zaidi.”
nakumbuka zaidi tukio lililowahi kunitokea la kupatwa
na ajari mbaya ya gari maeneo ya Bia ramuro mkoani Kagera mwaka 1998
ambapo gari lilipinduka zaidi ya mara nne lakini mungu alisaidia nikatoka
salama.